SERIKALI YA ZANZIBAR YAZIDI KUENDELEZA MIRADI YA MAENDELEO KUTATUA CHANGAMOTO
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imewahikikishia wananchi wa Zanzibar kuwa miradi ya maendeleo inayoendelea kujengwa itapunguza changamoto mbali mbali za kijamii zinazowakumba wananchi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ametoa kauli hiyo katika muendelezo wa ziara yake ya kukagua Miradi ya maendeleo inayojengwa na Serikali kwa fedha za ahueni za
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed