SERIKALI YA ZANZIBAR YAZIDI KUENDELEZA MIRADI YA MAENDELEO KUTATUA CHANGAMOTO

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imewahikikishia wananchi wa Zanzibar kuwa miradi ya maendeleo  inayoendelea kujengwa itapunguza changamoto mbali mbali  za kijamii zinazowakumba wananchi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ametoa kauli hiyo katika muendelezo wa ziara yake ya kukagua Miradi ya maendeleo inayojengwa na Serikali kwa fedha za ahueni za